Mtanzania kusaka rekodi kisiwa cha Greenland Anakwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Denmark kwenye mashindao ya kutembea na kuteleza kwenye barafu katika kisiwa cha Greenland,
watatu wa familia moja wadaiwa kumuua Mwenyekiti wa kitongoji Same Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja, huku wawili wakiendelea kutafutwa, wakituhumiwa kumuua kwa kumkata sehemu za kichwa na begani na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha...
Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi "Nitoe rai kwa wana Moshi waliopo mahali popote, janga hili limetukuta, hawa ni ndugu zetu kama ilivyo desturi yetu sisi Watanzania chochote tulichonacho tutoe, wanahitaji vyakula, mavazi, vifaa...
PRIME Simulizi za kusisimua za waathirika wa mafuriko Moshi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali ya mkoa inaendelea kufanya tathmini ya madhara yaliyotokana na mafuriko hayo
Vifo vilivyosababishwa na mafuriko Moshi vyafikia saba Watu watano wamefariki dunia wakiwemo Watoto watatu wa familia moja, huku kadhaa wakijeruhiwa, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Moshi, Mkoani...
DC Sumaye ahimiza kuenzi fikra za waasisi wa Muungano Asema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwa na manufaa ambayo yamepanua wigo wa masuala ya ajira, uchumi, biashara, pamoja na tunu katika Taifa.
Mwili wa Gardner wawasili Rombo kwa maziko Gardner alifariki dunia Aprili 20, 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu.
Profesa Mkenda awaonya wanaCCM Rombo, awakumbusha ya Mramba Mbunge wa Rombo (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amewaomba wananchi wa Rombo, mkoani Kilimanjaro kutofanya makosa kwenye uchaguzi wa Serikali za...
Simulizi ya mtoto wa mitaani aliyefanikiwa kuhitimu chuo kikuu Baada ya kumaliza kidato cha nne na kupata daraja la pili, Agustino alipangiwa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Uyumbu
Nyumba zazingirwa maji Karatu, wananchi wakosa makazi Mvua hizo zilizonyesha tangu wiki iliyopita zinatajwa kuathiri maeneo mbalimbali wilayani humo, ikiwemo Kata ya Qurus na Karatu.